KUELEKEA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI MACHI 8, 2025: WANAWAKE NA KILIMO

 Wanawake  kutoka Mamlaka ya Udhibiti wa Mbolea Tanzania (TFRA)  wakiwa katika banda la Wizara ya Kilimo  tayari  kutoa huduma kwa wadau mbalimbali wakati wa maonesho yaliyoanza leo katika viwanja vya  Abeid Aman Karume jijini Arusha  ambapo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt.Samia Suluhu Hassan  anatarajiwa kuwa Mgeni Rasmi kwenye kilele cha maadhimisho hayo. Kauli mbiu ya kitaifa ya mwaka huu ni *Wanawake na Wasichana  2025 : Tuimarishe Haki, Usawa  na Uwezeshaji



Post a Comment

Previous Post Next Post