JKCI YANUNUA MASHINE MBADALA YA MAPAFU NA MOYO

 TAASISI Ya moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI,) imenunua mashine mbadala ya mapafu na moyo (Heart Lung machine,) Itakayotumika wakati wa upasuaji mkubwa wa kusimamisha moyo yenye thamani ya shilingi 383, 596,000.


Post a Comment

Previous Post Next Post