WAZIRI NDALICHAKO AFANYA ZIARA YA KUKAGUA MAENDELEO YA UJENZI WA SHULE YA MFANO DODOMA

 

Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof Joyce Ndalichako akisikiliza taarifa kutoka Operesheni Kamanda wa mradi huo kutoka Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), Meja Philemon Komanya kabla ya kuanza kukagua Maendeleo ya ujenzi wa Shule ya Mfano inayojengwa Iyumbu jijini Dodoma iliyofanyika Leo April 10,2021

Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof Joyce Ndalichako akipata maelezo kutoka kwa Afisa wa Jeshi, Kapteni Mturi wakati wa ukaguzi wa ujenzi wa Shule ya Mfano inayojengwa Iyumbu jijini Dodoma,leo April 10,2021.

 

Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof Joyce Ndalichako akiwa ameongozana na Naibu Waziri wake Mhe. Omary Kipanga na Naibu Katibu Mkuu, Prof Carolyne Nombo wakikagua ujenzi wa Shule ya Mfano inayojengwa Iyumbu jijini Dodoma, wakati wa ziara hiyo ya kukagua  maendeleo ya ujenzi huo iliyofanyika Leo April 10,2021

Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof Joyce Ndalichako akitoa maelekezo kwa Mkandarasi Mturi wakati wa ziara yake ya kukagua ujenzi wa Shule ya Mfano inayojengwa Iyumbu jijini Dodoma,ziara hiyo imefanyika leo April 10,2021.

Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia,Mhe.Omary Kipanga akipima urefu wa nguzo zilizopo kwenye jengo la Bweni ya Shule ya Mfano inayojengwa Iyumbu jijini Dodoma wakati wa ziara ya kukagua ujenzi wa shule hiyo iliyofanyika leo April 10,2021 .

Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof Joyce Ndalichako akiwa na Naibu Waziri wake Mhe. Omary Kipanga wakiendelea na ukaguzi wa  ujenzi wa Shule ya Mfano inayojengwa Iyumbu jijini Dodoma, wakati wa ziara hiyo ya kukagua  maendeleo ya ujenzi huo iliyofanyika Leo April 10,2021

Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof Joyce Ndalichako akimueleza jambo Mhandisi kutoka Ardhi Nicodeus Ngaya wakati wa ziara yake ya kukagua ujenzi wa Shule ya Mfano inayojengwa Iyumbu jijini Dodoma, wakati wa ziara hiyo ya kukagua  maendeleo ya ujenzi huo iliyofanyika Leo April 10,2021

 

Mafundi wakiendelea na shughuli za ujenzi  wa Shule ya Mfano inayojengwa Iyumbu jijini Dodoma.

Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof Joyce Ndalichako,akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya kumaliza ziara yake ya kukagua  ujenzi wa Shule ya Mfano inayojengwa Iyumbu jijini Dodoma iliyofanyika Leo April 10,2021

Post a Comment

Previous Post Next Post