
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Mhandisi Hamad Yussuf Masauni (kulia) akizungumza na Naibu Waziri wa Malisili na Utalii Mhe. Hamad Hassan Chande wakati wa Kikao cha Saba cha Mkutano wa Tatu Bunge la 13 jijini Dodoma leo Aprili 13, 2026. Mbele ni Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Mhe. Prof. Riziki Shemdoe.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Mhandisi Hamad Yussuf Masauni (kulia) akizungumza na Naibu Waziri wa Nishati Mhe. Salome Makamba wakati wa Kikao cha Saba cha Mkutano wa Tatu Bunge la 13 jijini Dodoma leo Aprili 13, 2026.

Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Reuben Kwagilwa (kulia) akizungumza na Mbunge wa Nachingwea Mhe. Fadhili Liwaka wakati wa Kikao cha Saba cha Mkutano wa Tatu Bunge la 13 jijini Dodoma leo Aprili 13, 2026. Aliyekaa mbele ni Naibu Waziri wa Madini Mhe. Dkt. Steven Kiruswa.

Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Reuben Kwagilwa (kulia) akizungumza na Mbunge wa Nachingwea Mhe. Fadhili Liwaka wakati wa Kikao cha Saba cha Mkutano wa Tatu Bunge la 13 jijini Dodoma leo Aprili 13, 2026. Kushoto ni Naibu Waziri wa Fedha Mhe. Mhandisi Mshamu Munde na aliyekaa mbele ni Naibu Waziri wa Madini Mhe. Dkt. Steven Kiruswa.

Mbunge wa Jimbo la Tanganyika Mhe. Moshi Kakoso akichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Ofisi ya Waziri Mkuu kwa mwaka wa fedha 2026/27 bungeni jijini Dodoma leo Aprili 13, 2026.