MWAKALINGA ATETA NA WATUMISHI WA TAASISI ZA SEKTA YA UJENZI

  Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano (Sekta ya Ujenzi), Arch. Elius Mwakalinga, akitoa maelekezo kwa Kaimu Meneja wa Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA), mkoa wa Shinyanga Daniel Ojwando, wakati Katibu Mkuu huyo alipokuwa akikagua Karakana ya TEMESA mkoani humo Meneja wa Wakala wa Barabara (TANROADS) mkoa wa Shinyanga, Mhandisi Mibara Ndirimbi, akizungumza wa watumishi wa Taasisi zilizo chini ya Sekta ya Ujenzi, wakati Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano (Sekta ya Ujenzi), Arch. Elius Mwakalinga, alipokutana na watumishi hao mkoani Shinyanga kujadili masuala mbalimbali ya kiutumishi.

Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano (Sekta ya Ujenzi), Arch. Elius Mwakalinga, akisisitiza jambo kwa watumishi wa Taasisi zilizo chini ya Sekta yake (hawapo pichani) alipokutana nao mkoani Shinyanga kujadili masuala mbalimbali ya kiutumishi.

Watumishi wa Taasisi zilizo chini ya Sekta ya Ujenzi, wakimsikiliza Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano (Sekta ya Ujenzi), Arch. Elius Mwakalinga (hayupo pichani) wakati alipokutana nao kujadili masuala mbalimbali ya 

Post a Comment

Previous Post Next Post