TANESCO YATOA ELIMU YA MATUMIZI BORA NA SAHIHI YA UMEME KWA WACHIMBA MADINI HUMO MBEYA

 Maafisa wa TANESCO wakiwa kwenye moja ya viwanda walivyotembelea
Afisa mwandamizi wa ufundi kutoka TANESCO Stewartness Makiko akikagua moja ya mota zinazotumiwa na kiwanda Cha kukamua alizeti Cha Moravian kilichoko Wilaya ya chunya
 Mchimbaji mdogo wa dhahabu akisafisha mchanga kusaka madini hayo
 MaafisaTANESCO wakipata maelezo kutoka kwa Afisa madini wa kiwanda Cha Mdimi investment kilichoko wilayani Chunya mkoani Mbeya Joseph Mamuya wakati maafisa hao walipotembelea kiwandani hapo jana.
Vijana kutoka kiwanda Cha kuchakata mbao kutoka Tukuyu Cha Kapinga wakisikiliza kwa making Elimu inayohusu masuala ya umeme wakati walipowatembelea

Post a Comment

Previous Post Next Post