Maafisa wa TANESCO wakiwa kwenye moja ya viwanda walivyotembelea
![]() |
| Afisa mwandamizi wa ufundi kutoka TANESCO Stewartness Makiko akikagua moja ya mota zinazotumiwa na kiwanda Cha kukamua alizeti Cha Moravian kilichoko Wilaya ya chunya |
Mchimbaji mdogo wa dhahabu akisafisha mchanga kusaka madini hayo
MaafisaTANESCO wakipata maelezo kutoka kwa Afisa madini wa kiwanda Cha Mdimi investment kilichoko wilayani Chunya mkoani Mbeya Joseph Mamuya wakati maafisa hao walipotembelea kiwandani hapo jana.
Vijana kutoka kiwanda Cha kuchakata mbao kutoka Tukuyu Cha Kapinga wakisikiliza kwa making Elimu inayohusu masuala ya umeme wakati walipowatembelea




