No title

 Waziri wa Maji Mhe. Jumaa Aweso (Mb) akiwa katika kikao na  Mkuu wa Mkoa wa Iringa  Mhe. Kheri James. 


Mhe. Aweso katika kikao hicho katika ofisi ya Mkuu wa mkoa wa Iringa ameambatana na Katibu Mkuu wa Wizara Mhandisi Mwajuma Waziri.

 

Kikao kimehusu  utekelezaji wa mradi wa maji wa miji 28 ambao unatekelezwa wilayani Mafinga. 


Waziri Aweso amemhakikishia Mkuu wa Mkoa na wananchi kuwa Wizara ya Maji inafuatilia kwa karibu kazi hiyo  ili kuhakikisha kazi inakamilika na kufikisha  huduma ya uhakika ya majisafi na salama kwa wananchi.














Post a Comment

Previous Post Next Post