WAZIRI AWESO ASHIRIKI KIKAO CHA MENEJIMENTI YA WIZARA YA MAJI
byJMABULA BLOG-
0
Waziri wa Maji Mhe. Jumaa Aweso (Mb) akishiriki kikao na menejimenti ya Wizara ya Maji. Kikao kimejikita katika masuala mtambuka kuhusu Sekta ya Maji nchini na kimefanyika Mtumba, jijini Dodoma